Friday , 29 March 2024
Habari za Siasa

Zitto ampinga Mnyika

Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini
Spread the love

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, amepinga hoja ya John Mnyika, Waziri Kivuli ya Nishati na Madini, aliyetaka miswada mitatu inayohusu ulinzi wa rasilimali za nchi kutowasilishwa Bungeni kwa hati ya dharura, anaandika Mwandishi Wetu.

Ili kusikiliza zaidi alichosema Zitto kuhusu hoja za Mnyika, fuatilia video hapo chini, pia usiasahau ‘kusubscribe’ channel yetu kupata habari kwa haraka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!