KLABU ya Yanga imemfuta kazi kocha wake, Lucy Eymael kutokana na kauli zake za kibaguzi alizozitoa kwa mashabiki wa timu hiyo katika vipindi tofauti. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).
Pamoja na Eymael kuisaidia Yanga kumaliza Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumaliza katika nafasi ya pili baada ya kushinda mchezo wake wa jana dhidi ya Lipuli FC kwa bao 1-0, lakini klabu ya Yanga imemtaka kocha huyo kuondoka kuhakikisha anaondoka haraka nchini.
Eymael amekutana na rungu hiyo baada ya kutoa kauli za kibaguzi kwa mashabiki wa Yanga hawajui mpira na anapofanya mabadiliko huwa wanaopiga makelele kama nyani.
Taarifa kamili ya Yanga kumtimua Eymael hii hapa:-
Leave a comment