Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wizara ya Kilimo yapata pigo, watumishi watano wafariki ajalini
Habari MchanganyikoTangulizi

Wizara ya Kilimo yapata pigo, watumishi watano wafariki ajalini

Spread the love

WATUMISHI watano wa Wizara ya Kilimo na Chakula, wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Njirii, Manyoni mkoani Singida. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Ajali hiyo iliyohusisha gari ya wizara hiyo yenye namba za usajili STK 8925 na roli la mafuta la kampuni ya Mount Meru ya Rwanda.

Watumishi wote watano waliokuwemo katika gari hilo wanaume watatu na wanawake wawili wamefariki papo hapo.

Majina ya watumishi hao ni Stella Joram Ossano (39), Esta Tadayo Mutatembwa (36),  Abdallah Selemani Mushumbusi (53), Charles Josephat Somi na Erasto Mhina (43).

Miili ya Marehemu inasafirishwa kuelekea hospitali ya mkoa wa Dodoma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!