Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waziri avunja bodi ya NSSF
Habari za Siasa

Waziri avunja bodi ya NSSF

Spread the love

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana na Ajira, Jenista Mhagama ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) pamoja na kutengua uteuzi wa Mwenyekiti  na wajumbe wake. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea).

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma leo Julai 24, 2018 Waziri Mhagama amesema lengo la mabadiliko hayo ni kuimarisha utendaji wa NSSF.

“Lengo kuu la mabadiliko haya ni kuhakikisha  kuwa shirika linaimarishwa zaidi katika kusimamia mwenendo mzima wa kila siku wa utendaji kazi wa shirika ikiwemo kazi za msingi za kuongeza wanachama kukusanya michango kulipa mafao ya wanachama kwa wakati na kusimamia ipasavyo shughuli za vitega uchumi kwa ufamnisi na uweledi,” amesema Mhagama.

Waziri Mhagama amesema taratibu za uteuzi wabodi mpya na wajumbe wake utaendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!