Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Wazazi watakiwa kuwekeza kwa watoto
Habari Mchanganyiko

Wazazi watakiwa kuwekeza kwa watoto

Mkurugenzi wa Foundation IHD, Kofi Marfo
Spread the love

TAASISI ya Maendeleo ya Binadamu ya Chuo Kikuu cha Aga Khani, imewaomba wadau mbalimbali kufunya uwekezaji wa muda mrefu kwa watoto wa chini ya miaka miatno, anaandika Angel Willium.

Hatua hiyo imeelezwa kwamba inasaidia kujenga nafasi salama kwa ajili ya watoto.

Mkurugenzi wa Foundation IHD, Kofi Marfo, amesema hayo leo wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa wadau wa masuala ya watoto unaoendelea jijini Dar es Salaam.

“Tuna jukumu la pamoja la kujenga nafasi salama kwa ajili ya watoto ili kuwapa watoto elimu, lishe bora na afya.,’’ amesema

Aidha, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Aga Khani, Joel Lugalla amesema, jamii ikizingatia suala la elimu itasaidia watoto chini ya miaka mitano kupata malezi bora.

Lugalla amesema IHD inafanya kazi ya kuzalisha ujuzi mpya kupitia tafiti mbalimbali.

Mada zilizo jadiliwa ni pamoja na umuhimu wa utunzaji wa watoto chini ya miaka mitano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!