Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara
Habari za Siasa

Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara

Kaimu Mkurugenzi wa Maadili Utumishi, Lambart Chialo
Spread the love

OFISI ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR_MUU) imeshutumu wafanyakazi katika yake kwa kukwamisha malengo ya serikali kuhusu  maadili ya watumishi kwa kuwa watoro kazin pamoja na kutumia vibaya taarifa mbalimbali za serikali , anaandika Jovina Patrick.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa Maadili Utumishi, Lambart Chialo amesema misingi mikubwa ya maadili ya Utumishi wa Umma ni mingi na kwamba lazima mambo kadhaa yazingatiwe wakati wa kuyatekeleza.

Misingi hiyo ni pamoja na utaalamu, uaminifu na uwajibikaji  na kwamba changamoto kubwa zinazojitokeza katika ukuzaji wa maadili ni pamoja na utoro kazini, kutumia vibaya taarifa za serikali yaani kutoa taarifa hizo hata kwa wasiohusika nazo, matumizi mabaya ya ofisi kwa kutumia rasilimali za ofisi kwa manufaa binafsi na pia kuvaa mavazi mabaya yasiyo na maadili ya kiofisi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!