Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Watu mil 3 ‘wapiga chenga’ kusajili laini za simu
Habari Mchanganyiko

Watu mil 3 ‘wapiga chenga’ kusajili laini za simu

James Kilaba, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)
Spread the love

LICHA ya kuwa na namba za utambulisho wa uraia (NIDA), watu 3,000,000 hawajasajili laini zao za simu kwa alama za vidole. Anaripoti Faki Sosi…(endelea).

James Kilaba, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), ametoa kauli hiyo tarehe 14 Desemba 2019, mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia usajili wa laini za simu, Kilaba amesema utafiti unaonesha kuwa, mtu mmoja anamiliki laini zaidi ya moja na kwamba, katika idadi hiyo ya watu (3,000,000), wanatarajia kusajili laizi zaidi ya milioni 5.6.

Mpaka kufika tarehe 10 Desemba 2019, laini za simu zilizosajiliwa nakutambuliwa na TCRA ni 47,063,603. Laini hizo zinamilikiwa na watu milioni 21.1.

Lakini laini zilizosajiliwa kwa njia ya alama za vidole ni 19,681,06 sawa na asilimia 42. Laini hizo zinamilikiwa na watu 7.6.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!