Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma
Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

Lazaro Mambosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam
Spread the love

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika maeneo, anaandika  Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Kamishina mwandamizi msaidizi wa Jeshi la Polisi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Kamanda Mambosasa amesema kuwa kutokana na msako unaoendelea kufanywa na Polisi wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao katika matukio tofauti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!