Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 
Habari za Siasa

Watia nia 78 kuchuana ubunge Kigamboni 

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wilaya ya Kigamboni
Spread the love

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanatarajia kupiga kura za maoni za ubunge. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Mkutano huo unafanyika leo Jumatatu tarehe 20 Julai 2020 katika ukumbi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere, Kivukoni ambapo wagombea ni 78 akiwamo mbunge anayemaliza muda wake, Dk. Faustine Ndugulile.

Wengine ni; aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na mchekeshaji maarufu nchini Mpoki Mujuni.

Tayari watia nia 30 kati ya 78 wameshajinadi kwa dakika chache  kwa kila mmoja na zoezi hilo bado linaendelea.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!