Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Wapangaji sugu TBA wape wa siku 14
Habari Mchanganyiko

Wapangaji sugu TBA wape wa siku 14

Spread the love

WAPANGAJI wa nyumba za serikali, wamepewa siku 14 na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kulipa malimbikizo ya madeni yao kabla haijawaondoa kwa nguvu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Agizo hilo limetolewa leo tarehe 1 Julai 2019 na Said Mndeme, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miliki TBA wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam.

Mndeme amesema wadaiwa hao sugu kama hawatalipa madeni yao baada ya siku hizo kuisha, TBA itawachukulia hatua za kisheria ikiwemo kuwafikisha mahakamani.

Mndeme amesema TBA inadai baadhi ya wapangaji wake malimbikizo ya kodi kiasi cha Sh. 10 Bilioni.

Wakati huo huo, Mndeme amewataka watumishi wa umma waliohamishwa vituo vya kazi huku wakiwa wanadaiwa na TBA, kulipa madeni yao ndani ya muda uliotolewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!