Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga
Habari Mchanganyiko

Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella
Spread the love

SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya wadau wa Asasi za kiraia mkoani hapa kushinikiza haki itendeke kwa wananchi hao ili walipwe kabla ya mradi huo kuanza, anaandika Mwandishi Wetu.

Aidha, serikali na Asasi za kiraia zimetakiwa kuwaandaa wananchi katika kukabiliana na changamoto za uwekezaji ili wazawa wasiwe wasindikizaji kwenye uchumi.

Mkutano huo uliofunguliwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella ulihusu kujenga ushirikiano na kuaminiana baina ya Asasi za kiraia na serikali.

Wakichangia katika mkutano huo wananchi wanaopisha mradi huo waliitaka serikali kuwasikiliza madai ya wananchi hao badala ya kuwapuuza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Puma Energy Tz: Watanzania tudumishe amani kuvutia uwekezaji

Spread the loveKAMPUNI ya Mafuta ya Puma Tanzania imewakutanisha wadau mbalimbali katika...

Habari Mchanganyiko

DAWASA waanza utekelezaji agizo la Samia

Spread the loveMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!