Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni
Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni

Spread the love

WANAFUNZI kadhaa katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha wanadaiwa kutumbukia katika shimo la choo cha shule hiyo mchana huu. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa za tukio hilo zimesambaa mchana wa leo tarehe 26 Oktoba 2018 katika mitandao ya kijamii.

Kufuatia tukio hilo, Mtandao huu ulimtafuta kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Ramadhan Ng’azi ili kupata uthibitisho wa tukio hilo.

SACP Ng’azi ameuambia mtandao huu kuwa, hana taarifa za tukio hilo kwa muda huu, na kwamba anafuatilia tukio hilo kisha baadae atatoa taarifa sahihi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!