Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi 917,072  darasa la Saba kuhenyeka kesho
Elimu

Wanafunzi 917,072  darasa la Saba kuhenyeka kesho

Wanafunzi wakijisomea
Spread the love

WATAHINIWA  917,072 kutoka shule 16, 583 wanatarajia kuanza mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi (darasa la saba) kwa mwaka 2017 kuanzia kesho, anaandika Faki Sosi.

Baraza la Mitihani la Taifa  (Necta), limetangaza hayio leo huku likionyesha wale watakaofanya udanganyifu wa aina yoyote kwa kuwa watakumbana na mkono wa sheria.

Mitihani hiyo itafanyika kwasiku mbili yaani kesho na keshokutwa kwa nchi nzima.

Katibu mtendaji wa NECTA, Dk Charles Msonde aliyasema hayo leo jijini Dar es Salaam, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Dk. Msonde amesema watawachukulia hatua wale wote watakaofanya udanganyifu ikiwamo kuwafutia matokeo yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!