Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wanachama 54 Chadema wambwaga OCD wa Geita
Habari za Siasa

Wanachama 54 Chadema wambwaga OCD wa Geita

Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Geita, Mponjoli Mwabulambo
Spread the love

MAWAKILI wanaowatetea wanachama 54 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), wameshinda pingamizi la Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Geita, Mponjoli Mwabulambo, katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kufanya mkutano wa ndani kinyume cha Sheria, anaandika Irene David.

Wiki mbili zilizopita wanachama hao walikamatwa na kupelekwa polisi na hatimaye kufikishwa mahakamani ambapo OCD aliwakatalia dhamana dhidi yao na hivyo kubaki gereza la Biharamulo kwa wiki mbili.

Hii leo mawakili hao wameshinda pingamizi hilo na hivyo wanachama hao wataachiliwa kwa dhamana iliyo wazi na taratibu za kuwadhamini zinaendelea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!