Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Waliotoroka Mgambo wapewa siku mbili kurudi kambini
Habari Mchanganyiko

Waliotoroka Mgambo wapewa siku mbili kurudi kambini

Spread the love

VIJANA takribani 200 waliotoroka katika mafunzo ya mgambo wapewa saa 48 ambayo ni sawa na siku mbili kurudi kambini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Agizo hilo limetolewa mapema leo tarehe 1 Oktoba 2018 na Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mhandisi Zephania Chaula wakati akifungua mafunzo ya mgambo katika kijiji cha Terrat mkoani Arusha.

Pia, Mhandisi Chaula amewaagiza wenyeviti wa vijiji na vitongoji kwa kushirikiana na watendaji wa kata kusimamia utekelezwaji wa agizo hilo ili vijana hao warudi kwa ajili ya kuendelea na mafunzo.

Katika hatua nyingine, Mhandisi Chaula amewataka vijana wanaoendelea na mafunzo ya mgambo kuzingatia mafundisho yao ili baadae wawe tegemeo kwa taifa katika shughuli za ulinzi na usalama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

error: Content is protected !!