Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majina ya waliopangiwa kidato cha tano, vyuo 2017 haya hapa
ElimuTangulizi

Majina ya waliopangiwa kidato cha tano, vyuo 2017 haya hapa

George Simbachawene, Waziri wa Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Spread the love

GEORGE Simbachawene, Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa jana alitangaza jumla ya wanafunzi 2,999 wamekosa fursa ya kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kati ya wanafunzi 96,018 waliochaguliwa kwa mwaka 2017.

Mwanahali Online imekusogezea na kukupa uwepesi wa kutazama majina  ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwa mwaka 2017.

BONYEZA HAPA KUTAZAMA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA SHULE/VYUO

BONYEZA HAPA KUTAZAMA ORODHA YA WANAFUNZI WATAKAOPANGIWA AWAMU-II

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!