Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Walimu wanawake walilia ndoa zao
Elimu

Walimu wanawake walilia ndoa zao

Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu
Spread the love

WALIMU wanawake wamelalamikia hatua ya serikali kuwapangia kazi katika vituo vya mbali kwa kuwa kunahataraisha ndoa na waume zao, anaandika Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa mwalimu Joyce Kaishozi ambaye ni mwakilishi kitengo cha walimu wanawake katika manispaa ya Dodoma, wakati akisoma risala mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Christina Mdeme.

Mwalimu Kaishozi alisema walimu wanawake wanafanya kazi kubwa ya kuelimisha jamii, lakini wamekuwa wakikutana na changamoto kubwa ambazo zinawafanya kufanya kazi bila kuwa na utulivu wa kiakili.

Amesema baadhi ya changamoto wanazokutana nazo ni walimu wanawake kuhamishwa vituo vya kazi na kupelekea mbali na hivyo kutengana na familia zao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Spread the loveMkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na...

error: Content is protected !!