Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Wagonjwa wa corona Z’bar wabaki 19, kidato cha sita kurejea Juni 1
Afya

Wagonjwa wa corona Z’bar wabaki 19, kidato cha sita kurejea Juni 1

Spread the love

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imetangaza kuregeza baadhi ya mambo wakati huu wa mapambano ya ugonjwa wa COVID-19 ikiwemo, kufungua shule kwa wanafunzi wa kidato cha sita tarehe 1 Juni, 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 27 Mei, 2020 na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar imesema SMZ imechukua uamuzi huo ili kwenda sambamba na kilichofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Serikali ya Tanzania imetangaza kuvifungua vyuo vyote na wanafunzi wa kidato cha sita kuanzia tarehe 1 Juni, 2020 huku mitihani ya kidato cha sita ikianza tarehe 29 Juni hadi 16 Julai, 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

error: Content is protected !!