Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge waliotemwa na Lipumba wafunguka 
Habari za Siasa

Wabunge waliotemwa na Lipumba wafunguka 

Mbunge wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyetenguliwa Ubunge na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC)  Riziki Ngwali akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Spread the love

MBUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyetenguliwa Ubunge na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC)  Riziki Ngwali amesema hujuma zilizofanywa ndani ya Chama hicho zinaweza kusababisha machafuko, anaandika Faki Sosi.

Riziki ambaye ni Mwanadiplomasia amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam kwenye  Ofisi ya wabunge wa Chama hicho kuwa  hujuma zilizofanywa makusudi  na watendaji wa Serikali ambao waliwajibika kulinda haki na Demokrasia

TAZAMA VIDEO NZIMA HAPA

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!