Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma
Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 19 Chadema  waapishwa Dodoma

Halima Mdee, Mbunge wa Chadema Viti Maalim
Spread the love

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai  amewapisha wabunge 19 wa viti maalum          kupitia  Chama cha Demokraisa (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Spika Ndugai amewaapisha leo Jumanne tarehe 24  Novemba 2020  viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Walioapishwa ni;  Halima  Mdee, Grace  Tendeka, Esther  Matiko, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnesta  Lambat, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Hawa Mwaifunga na Tunza Malapo.

Wengine ni; Asia Mwadini Mohamed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala,  Stella Siyao, Salome Makamba, Anatropia  Theonest na Conchesta Lwamlaza.

Kati ya wabunge hao 19 walioapishwa, wanaoingia kwa mara ya kwanza ni  wanne; Agnesta, Asia, Stella na Felister.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!