Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Viongozi Chadema jela mwaka mmoja
Habari za SiasaTangulizi

Viongozi Chadema jela mwaka mmoja

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Spread the love
MAHAKAMA ya Wilaya ya Igunga   imewahukumua viongozi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutumikia  kifungo cha mwaka mmoja jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mkusanyiko usio halali, anaandika Mwandishi Wetu.
Waliohukumiwa kwenda jela ni aliyekuwa Diwani wa Kata ya Igunga ambaye kwa sasa ni Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Igunga,  Vicent Kamanga (52),  Mwenyekiti wa Chadema Tawi la Mwamsunga,  Fea Rifa (41) na Katibu wa Chadema Tawi la Mwamsunga katika Kijiji cha Mgongoro,  Luhanya Zogoma(48).
Taarifa zaidi zitakujia kwa kadri tunavyopokea kutoka wilayani Igunga, Tabora.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!