Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Vifo vya corona vyafikia 88,507 Marekani
Kimataifa

Vifo vya corona vyafikia 88,507 Marekani

Spread the love

MAREKANI imeendelea kuwa taifa linaloongoza kwa vifo vinavyotokana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa Worldmeter unaonyesha, hadi leo Jumamosi tarehe 16, 2020 saa 6:00 mchana, Marekani ilikuwa imeripoti maambukizo milioni 1.4, vifo 88,507 huku waliopona wakiwa 327,751.

Mtandao huo unaonyesha, maambukizi duniani yamefikia milioni 4,641,975, vifo 308,827 huku waliopona milioni 1,768,005.

Hispania ni taifa linalofuatia baada ya Marekani likiwa na maambukizi 274,367, waliopona 188,967 huku vifo vikiwa 27,459.

Urusi inashika nafasi ya tatu duniani ikiwa na maambukizi 272,043, vifo 2,537 na waliopona ni, 63,166.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!