Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa UVCCM wang’ata na kupuliza Mwanza
Habari za Siasa

UVCCM wang’ata na kupuliza Mwanza

Shaka Hamidu Shaka, Kaimu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)
Spread the love

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka viongozi wa wilaya kuwachukulia hatua watendaji wao wa chini wanaotoa mikpo kwa vikundi hewa, anaadika Mwandishi Wetu.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Shaka Hamdu Shaka.

Shaka amewataka Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wao kuwachukulia hatua kali watendaji walio chini yao kwa kuwa vitendo hivyo vinarudisha nyuma maendeleo.

Akizungumza katika ziara yake ya siku saba mkoani Mwanza ambayo imeanzia wilaya za Magu na Ukerewe, Shaka amesema vijana wengi wanashindwa kupata mikopo.

Amesema watendaji wa umma wamekuwa ni tatizo katika kutoa mikopo ya asilimia tano ambayo serikali imekuwa ikitenda kwa vijana na wanawake.

Amesema bado kuna urasimu mkubwa kwa maofisa wanaohusika kutoa mikopo, wanatakiwa kufanya kazi kwa vitendo ili kumuunga mkono rais Magufuli.

Sakata la Makinikia kupunguza kiwango cha Ushuru wa huduma mara mbili kuliko kilichokuwa kinatoa awali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!