Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Utabiri wa MwanaHALISI, watimia, Mbunge wa Chadema ang’oka
Habari za SiasaTangulizi

Utabiri wa MwanaHALISI, watimia, Mbunge wa Chadema ang’oka

Spread the love

MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, Dk. Godwin Mollel, amekihama chama hicho. Anaripoti Pendo Omary…(endelea).

Dk. Mollel alitangaza kujivua uanachama wa chama hicho leo mchana kupitia taarifa kwa umma na video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Dk. Mollel alisema, amechukua uamuzi huo akiwa na akili timamu kwa lengo la kumuunga mkono Rais John Pombe Magufuli.

 

MwanaHALISI liliandika mwezi mmoja uliopita kuwapo kwa mkakati wa wabunge wawili, mmoja kutoka Chadema na mwingine kutoka Chama cha Wananchi (CUF).

Tayari mbunge wa Kinondoni kupitia CUF ametangaza kujiuzulu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!