Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji
Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji

Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi.

Hukumu hiyo imetolewa mchana huu na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Cyprian Mkeha kwamba Mahakama imeridhia ushahidi uliwasilishwa na upande wa utetezi.

Hakimu Mkeha amesema pamoja na kuridhia ushahidi wa pamoja, lakini mahakama umekubaliana pasipo shaka na ushahidi uliotolewa na mtumishi wa Umma ambaye ni Daktari kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hakimu Mkeha amesema kuwa upande wa mashatka umeshindwa kuthibisha makosa ya mtuhumiwa huyo.

Hakimu Mfawidhi Mkeha amesema kuwa uapande wa Mashataka umeshindwa kusibitisha kosa alidaiwa kutenda Manji.

Manji alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 16, 2017 akidaiwa kati ya Februari 6 na 9, 2017 katika eneo la Upanga Sea View wilayani Ilala alitumia dawa za kulevya aina ya heroin.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!