Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Urais Z’bar: CCM yampitisha Dk. Mwinyi
Habari za SiasaTangulizi

Urais Z’bar: CCM yampitisha Dk. Mwinyi

Dk. Hussein Mwinyi, Mgomnbea Urais Zanzibar (CCM)
Spread the love

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi amechaguliwa kwa asilimia 78 za wajumbe wa Halmashauri Mkuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Akitangaza matokeo hayo, Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesemaq, Dk. Mwinyi amepata kura 129 sawa na asilimia 78.65, Shamsi Vuai Nahidha kura 16 na Dk. Khalid Salum Muhamed kura 19.

Katika uchaguzi huo, Dk. Mwinyi atashiriki uchaguzi huo kumrithi Rais Ali Mohamed Shein ambaye hatogombea kutokana na kumaliza muda wake wa miaka kumi ya uongozi.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!