Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko UN watoa neno siku ya amani
Habari Mchanganyiko

UN watoa neno siku ya amani

Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo (wakwanza) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Spread the love

UMOJA  wa Mataifa (UN),  ofisi za Tanzania umeitaka jamii kudumisha amani na kuhakikisha hapatokei migogoro ili kuenzi  siku ya leo ambayo dunia inaadhimisha siku ya amani, anaandika Mwandishi Wetu.

Kauli hiyo imetolewa leo na Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo  na  kuongeza kuwa siku ya leo ni muhimu kwa jamii kwa kuwa inalenga kuelezea umuhimu wa kuwapo amani.

Amesema nchi nyingi duniani zinajaribu kuitafuta amani kwa muda mrefu japokuwa haijaipata na kwamba malengo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kuhakikisha kila mtu anaishi kwa amani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!