Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Ukata wamuondoa Pluijm Yanga
Michezo

Ukata wamuondoa Pluijm Yanga

Hans van Pluijm
Spread the love

KLABU ya Yanga imesitisha mkataba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi, Hans Van Der Pluijm kutokana na klabu hiyo kutokuwa na uwezo wa kuendelea kumlipa, anaandika Erasto Masalu.

Pluijm alikuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo kwa misimu miwili kabla ya kupandishwa na kuwa mkurugenzi wa ufundi wa klabu hiyo, lakini sasa amefunguliwa milango ya kuondoka.

“Nimepewa barua asubuhi hii na Yanga juu ya mkataba wangu kuwa umesitishwa. Walichokisema ni kuwa klabu kwa sasa ina Ukata na hawana uwezo wa kuendelea kunilipa,” amesema Pluijm.

“Kwa sasa nipo huru kujiunga na klabu yeyote itakayoonyesha nia na mimi basi nitafanya nao kazi.” Alisisitiza Pluijm.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

error: Content is protected !!