Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ujumbe wa Mbowe baada ya Waitara kuondoka
Habari za Siasa

Ujumbe wa Mbowe baada ya Waitara kuondoka

Spread the love

Wah. Viongozi na Wabunge!

Amani iwe kwenu wote!

Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo.

Waasisi wa Chama walifananisha na safari ya treni toka Dar kwenda Kigoma. Kwamba kuna watakaoshuka njiani kwa sababu mbalimbali, (halali na batili) hali kadhalika wengine wengi watapanda vituo mbalimbali kuungana na safari.

Hampaswi kushangaa baadhi yetu kuishia njiani. Nina hakika na imani kuwa hatakuwa wa mwisho kutoka.

Yumkini wako maelfu ambao wanapanda treni yetu kila siku.

Si kila atokaye ni hasara kwa Chama. Kutoka kwingine kwaweza kuwa baraka.

Wajibu huu wataka moyo Mkuu!! Shime wenye nia ya kufika Kigoma kwa umoja wetu tusonge mbele tukijiamini sana!!

Freeman Mbowe (MP)
Mwenyekiti & KUB

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!