Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Uhamiaji yajiandaa kutoa elimu kwa jamii
Habari Mchanganyiko

Uhamiaji yajiandaa kutoa elimu kwa jamii

Mji wa Dodoma
Spread the love

IDARA ya uhamiaji mkoa wa Dodoma imeandaa mpango maalum wa kuwafikia wananchi kuanzia ngazi ya kitongoji hadi wilaya kwa lengo la kutoa elimu ya utambuzi wa wahamiaji haramu, anaanadika Dany Tibason.

Aidha, kutokana na Dodoma kuwa makao makuu ya nchi wameanza kuimarisha ulinzi na msako kwa ajili ya kufichua watu ambao wanaingia nchi kinyume cha sheria.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dodoma, Peter Kundy, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kumalizika kwa mazoezi ya viungo yaliyofanyika katika uwanja wa mpira wa Jamhuri mjini hapa.

Kundy amesema kwa kuwa Dodoma ni makao makuu ya nchi zipo changamoto nyingi za watu wengine kutoka nje ya nchi kwa lengo la kutaka kutumia fursa za kujipatia kipato.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!