Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28
Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu Tanzania Jumatano Oktoba 28

Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage
Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) nchini Tanzania imesema, Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Urais wa Tanzania utafanyika Jumatano Oktoba 28, 2020. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Jumanne tarehe 21 Julai 2020, Mwenyekiti wa NEC, Semistocles Kaijage amesema uteuzi wa wagombea itakuwa Agosti 25,2020 na kampeni zitaanza Agosti 26 hadi Oktoba 27,2020.

Hii itakuwa mara ya kwanza Uchaguzi Mkuu unafanyika katikati ya wiki yaani Jumatano tofauti na chaguzi zilizopita ambazo zilikwua zikifanyika Jumapili.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!