Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu aivuruga serikali ya JPM
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aivuruga serikali ya JPM

Spread the love

SERIKALI imekiiri kuzuiliwa ndege aina Bombardier ( Q400-Dash 8) iliyonunuliwa hivi karibuni kutokana na deni inalodaiwa na kampuni ya ujenzi, anaandika Faki Sosi.

Hayo yameelezwa leo na Naibu Msemaji wa Serikali, Zamaradi Kawawa alipozungumza na waandishi wa habari.

Kawawa amesema kuwa serikali inachukau hatua za kidiplomasia na za kisheria kuhakisha kuwa ndege hiyo inapatikana.

“Hatua zilizochukuliwa ni zuio la Mahakama ambalo linahitaji ndege hiyo isiondolewe mpaka kesi ya msingi itakapoisha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!