Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afikishwa mahakamani Kisutu muda huu

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Singida, akiwasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu
Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), baada ya kuwekwa mahabusu siku nne, hatimaye amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusomewa mashtaka yake yanayomkabiri, anaandika Hellen Sisya.

Lissu alikamatwa Alhamisi iliyopita Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam na kushikiriwa na jeshi la Polisi kwa mahojiani, leo asubuhi amefikiwa mahakamani hapo kwa ajili ya kusomewa mashtaka yake ya uchochezi.

MwanaHALISI Online lipo mahakamani hapo, inaendelea kukujuza kinachotokea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!