Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti
Makala & Uchambuzi

Tume ya Uchaguzi Kenya yalegeza masharti

Wafula Chebukata, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC)
Spread the love

TUME ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imeazimia kuongeza muda wa kupiga kura siku ya uchaguzi katika maeneo yenye sheria ya muda wa kutembea, anaandika Catherine Kayombo.

Akizungumza katika mkutano uliofanyika makao makuu ya tume jijini Nairobi, mwenyekiti wa tume, Wafula Chebukata amedokeza kuwa wasimamizi wa uchaguzi katika vituo husika wamekabidhiwa madaraka ya kuongeza muda wa kupiga kura katika vituo ambavyo kazi hiyo inaingiliwa na sababu nyingine halali.

“Kuchelewa kufunguliwa kwa vituo vya kupigia kura katika maeneo yanayoathiriwa na sheria ya kutembea kwa muda husika, kutafidiwa na utekelezaji wakanuni ya 64(1) na 63(1).

Maeneo yenye vizuizi vya muda ni pamoja na Garisa, Lamu na maeneo kando yam to wa Tana lile ambayo yanahusiwa kuwa si salama kuwepo kwa muda mrefu hasa katika kipindi cha uchaguzi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Miaka 28 watumishi UDSM yaliwa na nzige, madumadu

Spread the loveGEORGE Francis anasikitika; anatembea akiwa na mawazo mengi, hajui la...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekumbuka Samia wa miaka 3 iliyopita

Spread the loveWAKATI naandaa makala ya safu hii wiki hii, nimejikuta nakumbuka...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hakuna fedha za Rais

Spread the loveKUNA mambo machache mazuri ya kujifunza kutoka kwa Margaret Thatcher,...

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

error: Content is protected !!