Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Trilioni 108/= za Acacia kitendawili
Habari MchanganyikoTangulizi

Trilioni 108/= za Acacia kitendawili

Spread the love

JUHUDI za serikali kutaka kampuni ya Acacia kulipa mabilioni ya shilingi inayodai imepunjwa, ziko hatarini kukwama, MwanaHALISI limeelezwa.

Taarifa kutoka serikalini na makao makuu ya kampuni ya Barrick Gold Mining yaliyoko Toronto nchini Canada zinasema, serikali ya Tanzania inakabiliwa na kibarua kigumu kuweza kulipwa fedha hizo.

“Ni vigumu serikali kulipwa fedha inazosema zimeibiwa au zimepunjwa na Barrick. Hii ni kutokana na kamati ya rais iliyoeleza kuwapo kwa wizi huo kutokubalika kwenye macho ya sheria za kimataifa na sheria zilizotumika nchini kufunga mikataba ya madini…..

Kwa habari kamili, jipatie nakala yako ya gazeti la MwanaHALISI, toleo la Jumatatu 19 Juni, 2017.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!