Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril
Habari Mchanganyiko

TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril

Spread the love

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya kiasi cha Sh. 15.9 Trilioni katika kipindi cha nusu mwaka wa 2018/19. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa tarehe 31 Julai 2019 na Richard Kayombo, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi TRA, Makao Makuu.

Taarifa hiyo imeeleza, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi hicho kati ya lengo la ukusanyaji wa Sh. 18 Trilioni kuanzia tarehe 1 Julai 2018 hadi 30 Juni mwaka huu

Aidha, taarifa hiyo imesema katika kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha wa 2018/19 (mwezi Machi hadi Juni 2019), TRA ilikusanya Sh. 1.1 Trilioni mwezi Aprili, 1.2 Trilioni (Mei), na 1.5 trilioni (Juni).

“Kwa namna ya kipekee kabisa TRA inawashukuru walipakodi na wananchi wote kwa ujumla kwa ushirikiano,” inaneleza taarifa ya Kayombo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!