Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…
Michezo

Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini
Spread the love

 

MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2021 visiwani Zanzibar, itaanza tarehe 2 hadi 13 Januari huku timu kumi zikithibitisha kushiriki ikiwemo bingwa mtetezi Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Michuano hiyo hufanyika kila mwaka kusherekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika tarehe 12 Januari 1964. Mwaka huu inatimia miaka 58 ya Mapinduzi.

Katika michuano hiyo, timu nne ni za Tanzania Bara ambazo ni Simba, Yanga, Namungo na Azam FC pamoja na sita za Zanzibar.

Kikosi cha Simba kikifanya mazoezi

Timu hizo zimegawanywa kwenye makundi matatu ya timu tatu tatu na kundi moja likiwa na timu nne.

Kundi A lina timu za Azam FC, Namungo FC, Yosso Boys na Meli City.

Kundi B kuna bingwa mtetezi Yanga, Taifa Jang’ombe na KMKM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!