Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili
Michezo

Timu za CECAFA U-17 zawasili, kupimwa umri Muhimbili

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

IKIWA zimebaki siku tatu kabla ya michuano ya vijana ya kufuzu fainali za Afrika chini ya umri wa miaka 17, katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuanza, timu zimeanza kuwasili nchini na kufanya vipimo vya afya na umri katika Taasisi ya Tiba na Mifupa Muhimbili (MOI). Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Katika taarifa iliyotolewa na shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF katika tovuti yao imesema utaratibu wa vipimo hivyo utaendelea leo katika taasisi hiyo kwa baadhi ya timu, huku timu ya Taifa ya Tanzania ‘Serengeti Boys’ imeshaanza kufanya vipimo hivyo jana na leo inaendelea na vipimo vingine.

Mashindano hayo yanatarajia kuanza Jumamosi tarehe 11 hadi 26 Agosti, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa na Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

error: Content is protected !!