Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo TFF yamtimua Amunike, kutangaza mrithi wake
Michezo

TFF yamtimua Amunike, kutangaza mrithi wake

Emmanuel Amunike, aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars
Spread the love

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imesitisha mkataba wa Kocha wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” Emmanuel Amunike baada ya timu hiyo kuondoshwa katika hatua ya makundi ya Fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2o19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na TFF imesema kuwa shirikisho hilo limefikia makubaliano ya pamoja kusitisha mkataba kati yao na Amunike.

TFF itatangaza Kocha wa muda atakayekiongoza Kikosi cha Timu ya Taifa kwa mechi za CHAN.

Makocha wa muda watatangazwa baada ya Kamati ya Dharura ya Kamati ya Utendaji (Emergency Committee) itakapokutana Julai 11,2019.

Mchakato wa kutafuta Kocha mpya umeanza mara moja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!