Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Tanzania yafika uchumi wa kati
Habari Mchanganyiko

Tanzania yafika uchumi wa kati

Spread the love

BENKI ya Dunia (WB) imeitangaza Tanzania kuingia katika nchi za uchumi wa kipato cha kati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Hatua hiyo imefikiwa miaka mitano kabla ya lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 inayobainisha kufikia mwaka huo, Tanzania itafikia uchumi wa kati.

Leo Jumatano tarehe 1 Julai 2020, Rais wa Tanzania, John Magufuli ametumia akaunti yake ya Twitter kutoa pongeza kwa Watanzania kwa kufikia hatua hiyo.

Rais John Magufuli

Rais Magufuli amesema, “Benki ya Dunia leo tarehe 01 Julai, 2020 imeitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati.”

“Nawapongeza Watanzania wenzangu kwa mafanikio haya. Huu ni ushindi mkubwa na kazi kubwa tumeifanya, tulipanga kuingia uchumi wa kati ifikapo 2025 lakini tumefanikiwa 2020. Mungi Ibariki Tanzania,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!