Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana
Habari za SiasaTangulizi

TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana

Spread the love

JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na wenzake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Nyalandu leo mapema alishikiriwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Singida kwa mahojiano pamoja na David Jumbe na Samson ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema, Kata ya Itaja.

Kwa mujihu wa taarifa iliyotolewa na Tumaini Makene, Afisa Habari wa Chadema, inasema baada ya mahojiano TAKUKURU walimua kuwaachia Nyalandu na wenzake lakini Jeshi la Polisi waliwashikiria kwa mahojiano zaidi.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa baada ya Polisi kumaliza kuwahoji na kuandikisha maelezo waliruhusiwa kwa dhamana, lakini ghafla OCD akabadili uamuzi akidai amepokea maelekezo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!