Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Spika wa Bunge Uganda amvaa Rais Museveni
Kimataifa

Spika wa Bunge Uganda amvaa Rais Museveni

Spread the love

REBECCA Kadaga, Spika wa Bunge la Uganda amemwandikia barua Rais Yoweri Museveni akimtaka kuhakikisha kwamba, polisi waliohusika kumpiga na kumjeruhi, Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine,’ Mbunge wa Kyadondo wanachukuliwa hatua. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Spika Kadaga ametaka polisi hao wanaodaiwa kuwa baadhi yao ni walinzi wa Rais wa Museveni wanakamatwa mara moja na kuchukuliwa hatua za kinidhamu.

Kassiano Wadri, miongoni mwa wanasiasa waliowekwa kizuizini na Bobi Wine alidai kuwa Mbunge huyo wa Kyadondo alipigwa mara kwa mara na walinzi wa rais ambapo baadhi yao walikuwa wameficha nyuso zao.

Hata hivyo, serikali ya Rais Museveni imekanusha madai hayo ikisema kuwa ni ya uongo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!