Friday , 29 March 2024
Habari Mchanganyiko

Simanzi Simiyu

Ziwa Victoria
Spread the love

WATU watatu wavuvi katika Ziwa Victoria wilayani Busega, Simiyu wamefariki dunia baada ya mtumbwi wao kupasuka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea).

Taarifa kutoka Simiyu zinaeleza, maafa hayo yametokea jana tarehe 29 Novemba 2020, katika Kata ya Kabita wakati wavuvi wao wakiwa kazini.

Richard Abwao, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu amewaeleza waandishi wa habari leo tarehe 30 Novemba 2020, kwamba baada ya mtumbwi huo kupasuka, watu hao walikunywa maji mengi pia kukosa hewa jambo lililowasababisha mauti.

Waliotajwa kupoteza maisha ni Mnaga Manyama (28), Kulwa Juma (15) na Bitulo Manyama.

Kamanda Abwao anasema, wawtu hao wote walikuwa wakazi wa Kibata iliyopo kwenye Wilaya ya Busega mkoani humo na kwamba, taratibu zingine zinaendelea.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!