Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Shonza aitwa mahakamani kesho
Habari za SiasaTangulizi

Shonza aitwa mahakamani kesho

Spread the love

MAHAKAMA ya Hakim Mkazi mkoani Dodoma imemuagiza naibu waziri wa utamaduni, Sanaa na michezo, Juliana Shonza, kufika mahakamani kwa “hiari kesho” Ijumaa, vinginevyo itatoa amri ya kukamatwa na kufikishwa mbele ya mahakama kwa nguvu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Agizo hilo limetolewa kufuatia Shonza kushindwa kufika mahakamani
kutoa ushahidi kwenye kesi ya jinai aliyoifungua dhidi ya mbunge mwenzake, Saed Kubenea.

Katika kesi hiyo Na.8 ya mwaka 2018, Kubenea anatuhumiwa kumshambulia Shonza kwa kinachoitwa, “kitu chenye bapa,” jambo ambalo amedai limemsababishia maumivu makali na kuteguka viongo.

Kubenea amekana madai hayo na kuongeza, “yote yaliyoelezwa yamesheheni siasa za maji taka.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!