Thursday , 18 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Shibuda wa tatu kuteuliwa kugombea urais Tanzania
Habari za Siasa

Shibuda wa tatu kuteuliwa kugombea urais Tanzania

Spread the love

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemteua John Shibuda wa Ada Tadea kuwa mgombea urais wa Tanzania na Hassan Konde Kijongoo  kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Uteuzi wa wagombea hao umefanywa leo Jumanne tarehe 25 Agosti 2020 na Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage.

Jaji Kaijage amefanya uteuzi huo baada ya kujiridhisha Shibuda na Kijogoo wamedhi vigezo.

Shubuda amekuwa mgombea wa tatu kuteuliwa na NEC akitanguliwa na Rais John Pombe Magufuli wa Chgama Cha Mapinduzi (CCM).

           Soma zaidi:-

Wa pili kuteuliwa ni Leopard Mahona wa NRA kuwa mgombea urais wa Tanzania na Ally Khamis Hassan kuwa mgombea mwenza.

Vyama vilivyochukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea urais ni 17 kati ya 19 vyenye usajiliwa kudumu.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online, MwanaHALISI TV na mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa na habari mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!