Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sherehe za Muungazo zapigwa ‘stop’
Habari za Siasa

Sherehe za Muungazo zapigwa ‘stop’

Spread the love

SERIKALI imesitisha sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 55 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Hayo amesema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza ofisini kwake jijini Dodoma leo tarehe 25 Aprili 2019.

Waziri Majaliwa amesema kiasi cha fedha Sh. 988.9 milioni ambazo zilitengwa kwa ajili ya sherehe hizo ambazo zilitarajiwa kufanyika tarehe 26 Aprili 2019, zimeokolewa na kwamba zitapangiwa matumizi mengine.

Waziri Majaliwa amesema tarehe 26 Aprili 2019 itakuwa ni siku ya mapumziko kwa ajili ya kuadhimisha muungano huo, na hakutakuwa na shamrashamra za aina yoyote ile.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!