Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora
Habari Mchanganyiko

Sh. 90,000 zamfikisha kortini mwalimu Tabora

Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) itamfikisha mahakamani mwalimu, Kondwani Masata akituhumiwa kutoa rushwa ya Sh.90,000 kama kishawishi kwa Katibu Tawala Mkoa wa Tabora ili aweze kuhamishiwa Manispaa ya Tabora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020 na Mkuu wa Takukutu Mkoa wa Tabora, Mussa Chaulo imesema, mwalimu huyo Kondwani Masata wa shule ya sekondari Kizengi Kata ya Kizengi wilayani Uyui Mkoa wa Tabora.

Chaulo amesema, mwalimu huyo atafikishwa mahakamani leo Jumatatu kutokana na tuhuma hizo ambapo walibaini mtuhumiwa aliomba uhamisho na kwa nyakati tofauti amekuwa akishawishi kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu (sms) na baadaye kutoa fedha kiasi hicho.

Pia, Takukuru itamfikisha mahakamani, Fidelis Myovella, mhasibu wa Chuo cha Ualimu Tabora na Joseph Kaizerege, mfanyakazi katika manispaa ya Tabora kwa kosa la kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri.

Taarifa yote ya Chaulo hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!