Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yawapigia debe maskini Kahama
Habari Mchanganyiko

Serikali yawapigia debe maskini Kahama

Baadhi ya wananchi wakiwa sehemu ya mapokezi ya hospitali, tayari kwa kupata huduma
Spread the love

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wananchi wa kijiji cha Iyenze kata Iyenze  wilayani  Kahama mkoani Shinyanga kuhakikisha wanawasaidia wanzeo wasiojiweza kwa kuwalipia  Bima ya Afya iliyoboreshwa(CHF), anaandika Mwandishi Wetu.

Kijiji  hicho kina kaya 1177 wakati 7932 na idadi ya watu wanafikia zaidi ya 7000 kwa mujibu wa sensa ya  mwaka 2012.

Kauli hiyo imetolewa katika uzinduzi wa CHF ambayo inatoa  huduma katika vituo vya fya vya serikali uliofanyika katika kijiji cha Iyenze.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!