Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL
Habari za Siasa

Serikali yamjibu Nape kuhusu ATCL

ATCL Dreamliner
Spread the love

TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama. Anaripoti Mwanidishi Wetu … (endelea).

Nape ameihoji serikali kwamba, kumekuwepo na tatizo la ndege kuchelewa kuanza safari zake na wakati mwingine bila abiria kupewa taarifa yoyote na kwamba, nini chanzo chake.

“Kumekuwepo na ucheleweshwaji wa kuanza kwa safari za ndege za ATCL na wakati mwingine muda husogezwa mbele, nini kimekuwa kikichangia jambo hili?” amehoji Nape.

Atashasta Nditiye, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameeleza kuwa, tatizo hilo lemekuwa likishughulikiwa na kuwa, kwa sasa kukiwa na ucheleweshwaji, abiria hupewa taarifa.

Nditiye amefafanua kuwa, tayari wamefanya mabadiliko makubwa huku wakiendelea kulikabila tatizo hilo ambalo sasa limepungua.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!