Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Serikali watia msisitizo viboko mashuleni
Elimu

Serikali watia msisitizo viboko mashuleni

Kiboko
Spread the love

SERIKALI imepiga marufuku walimu kuwachapa viboko wanafunzi kinyume na utaratibu. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Agizo hilo limetolewa leo tarehe 13 Novemba 2018 bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Elimu, William Olenasha, ambapo amesema mwenye ruhusa ya kumchapa mwanafunzi viboko ni mkuu wa shule tena kwa sababu maalum.

“Marufuku mwalimu kumchapa mwanafunzi kinyume na utaratibu, marufuku mwalimu kuonekana akitembeea na kiboko kwa lengo la kumchapa mwanafunzi ni kinyume na sheria,” amesema.

Olenasha ametoa agizo hilo wakati akijibu swali la mbunge viti maalum, Rose Tweve aliyehoji mikakati ya serikali katika kuhakikisha uwepo wa ulinzi wa mtoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

RC Songwe ang’aka kesi 2 kati ya 60 za mafataki kuamuliwa

Spread the loveMkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na...

Elimu

Takukuru wambana Mwalimu mkuu, atema bungo

Spread the loveMwalimu Mkuu wa shule msingi Hanihani, kata ya Igunga wilayani...

error: Content is protected !!